
Monday, 3 April 2017
lugha ya KISUKUMA

jina
Wasukuma linatokana na neno “sukuma” lenye maana ya “kaskazini” katika lugha ya
Kisukuma na Kinyamwezi. Wanyamwezi waliwaita “Bhasukuma” yaani watu wa
kaskazini mwao. Nao Wasukuma waliwaita Wanyamwezi “Bhadakama”.
Maria
Nyanjige akinukuliwa, asema anafafanua kuhusu historia ya Wasukuma, “
kihistoria asili ya kabila la wasukuma ni nchini Ethiopia, na akaongeza kuwa
kabila la Wasukuma limegawanyika katika sehemu tatu, kwamba kuna wasukuma...